Tuesday, September 25, 2012



          UMESHATAZAMA VIDEO YA HOLD ME BACK YA RICKROSS ALIYOFANYA NIGERIA?

Hopefully umeshatazama video mpya ya Rick Ross ambayo ameirudia kuifanya kule nchini Nigeria,kama ujaiona basi hipo hapo juu. Baadhi ya watu wamelalamika kuwa video hii inajaribu kuionyesha Afrika ni mahala pabaya na watu ni maskini sana. Na hii ni kwasababu kuna vipande katika video inaonekana watoto wadogo wakipewa pesa na hata baadhi ya sehemu kunaonekana watu wakiwa wamevaa nguo chakavu...yaani kwa ufupi watu maskini na maeneo maskini ndio vitu vinavyoonekana zaidi.
                                       
Wakati huo huo watu wengine wanasema Rozay amejaribu kuionesha dunia ukweli wa hali halisi ya Afrika...
Kama ungepata nafasi ya kuiona video nyingine ( First version) ambayo ameifanya USA ambayo ameifanyia New Orleans pia amejaribu kuonesha maeneo chakavu na watu maskini.
Nini maoni yako katika hili?
 

No comments:

Post a Comment