Tuesday, September 11, 2012

  

                           MATANGAZO HAYA YANA ISHARA GANI KWA TAIFA HILI LETU
   

 Sasa hivi ukipita sehemu nyingi za mijini utakuta matangazo kama hayo yanayohusu waganga wa kienyeji na ukitazama sifa za waganga hao utagundua kuwa wengi uwa wanataja kutokea miji kama Sumbawanga,Tanga na nchi kama Malawi na Nigeria. Na magonjwa au matatizo makubwa wanayotibu ni nguvu za kiume,matatizo ya uzazi na kazi na mapenzi.
Kingine cha ajabu sasa matangazo hayo mengi uwa yanawekwa kwenye nguzo za umeme.

No comments:

Post a Comment